SELI
Seli ni mkusanyiko mdogo wa waamini unaokutana mara moja kwa wiki kwa ajili ya mafundisho ya Biblia, Maombi na Shughuli za mambo ya Kijamii.
Dhumuni la Seli
- Husaidia ukuaji wa kiroho kwa waamini.
- Ushirikiano wa Mambo ya Kijamii.
- Ushudiaji wa Injili kwa eneo husika.
- Kujifunza Biblia.
Idadi ya Seli Zilizopo
Ngaramtoni
Sakina
Mianzini
Ilboru
Sanawari
Sekei
Kimandolu
Ngulelo
Tengeru
Maji ya Chai
Kisongo
Majengo
Ngarenaro
Kaloleni
Moshono
Kijenge Mwanama
Njiro
Murieti
Morombo
Sinoni
Uswahilini
Sombetini
Mbauda
Olasiti

































