Kaloleni Pentekoste

Karibu kwenye madhabau ya shalom

DISCIPLE NATIONS PENTECOST CHURCH KALOLENI – ARUSHA

DNPC

"2026 NI MWAKA WA KUPIGA MBIO"

Neno la Mwaka 2026
"Isaya 40:31"

Bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watakimbia, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia.

"Yoeli 2:7"

Hupiga mbio kama mashujaa; huupanda ukuta kama watu wa vita; nao huendelea mbele kila mmoja katika njia zake, wala hawapotoshi safu zao.

Karibu katika Ibada zetu za Alhamisi, Jumamosi, na Jumapili

UBATIZO

Kubariki Watoto

Kujazwa Roho Mt.

Ratiba za Ibada

Jumatatu

 

SAA  12:00-1:00

MORNING GLORY PRAYERS

 

SAA  7:00-8:00  MCHANA

LUNCH   HOUR MEETING

 
SAA  10:30-12:00 JIONI 

WANAWAKE

 

Jumanne

SAA  12:00-1:00

MORNING GLORY PRAYERS


SAA 7:00-8:00 MCHANA

LUNCH   HOUR MEETING

 

IBADA ZA MITAANI/CELLS]

Jumatano

 

SAA  12:00-1:00

MORNING GLORY PRAYERS

 

SAA  7:00-8:00  MCHANA

LUNCH   HOUR MEETING

 

SAA  10:30-12:00 JIONI

VIJANA

 

Alhamisi

SAA 12:00-1:00

MORNING GLORY PRAYERS

 

SAA 7:00-8:00  MCHANA

LUNCH   HOUR MEETING

SAA 09:00-12:00 JOINI

MAOMBI NA MAOMBEZI

 
Ijumaa

SAA  12:00-1:00

MORNING GLORY PRAYERS

 

SAA  7:00-8:00  MCHANA

LUNCH   HOUR MEETING

 

 

J' mosi

SAA 02:00-09:00       MCHANA

MAOMBI NA MAOMBEZI

Jumapili

SAA  01:00-03:00 ASUBUHI

IBADA YA KINGEREZA

 

SAA 03:00-04:00 ASUBUHI

MAFUNDISHO YA BIBLIA

 

SAA 4:00-7:00 MCHANA

IBADA YA KISWAHILI

Ratiba za Mfungo
MFUNGO WA SIKU 7 (KILA WIKI YA KWANZA YA MWEZI )

TUNAHITIMISHA MFUNGO NA IBADA INAYOANZA

SAA 10:00 JIONI hadi Saa 12 :00 JIONI

KILA SIKU ZA WIKI YA MFUNGO.

tunachoamini

Tunaamini kwamba Mungu wa kweli ni mmoja, muumba wa vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonakana, wa milele, Mwenye uwezo wote, maarifa yote na yupo mahali popote wakati wote, Mtakatifu
(Mwanzo 1:1, Nehemia 9:6, 1.Wakoritho 8:6, 1.Timotheo. 2:5)

kwamba Mungu alijifunua katika nafsi tatu ambazo ni Mungu Baba, Mwana na Roho Mtakatifu na ambaye peke yake anastahili heshima, utukufu, sifa na ibada kutoka kwa kila kiumbe milele na milele,
(Kutoka 20:2-5, Mathayo 3:16-17, 28:19, Ufunuo. 5:13)

kwamba Yesu Kristo ni mwana wa Mungu na pekee aliyekuwepo kabla ya kuumbwa kwa vitu vyote Neno la Mungu aliye hai, Mungu wa milele ambaye vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake,
(Yohana 1:1-3, 1.Wakoritho 1:16-17, Waebrania 1:3)

kwamba Yesu Kristo alikuja katika mwili, akakaa kwetu ili aweze kuleta ukombozi kwa wote wenye mwili na kuwapa wokovu kamili kutoka Dhambini,
(Yohana 1:14, 1Yohana 4:2, Waebrania 2:14-16)

kwamba Kristo Yesu alifanyika dhabihu kwa ajili ya ondoleo la dhambi kwa njia ya kifo chake msalabani, alizikwa na kufufuka siku ya tatu, na hivyo kupata heshima na sifa ya kuwa kuhani mkuu wetu wa milele na patanisho halali kati ya Mungu na wanadamu, 
(1.Wakoritho 15:3-4, Waebrania 2:14, 10:10, 12:21)

Tunaamini katika wokovu sawasawa na Warumi 10:9-10

Tunaamini kwenye Ubatizo wa maji mengi sawasawa na Mathayo 3:16

Unaweza Weka Sadaka yako kupitia,
Akaunti ya Benki au kwa Vodacom Lipa Namba.

JINA LA AKAUNTI – DNPC KALOLENI
NAMBA YA AKAUNTI: 40810168762

JINA LA AKAUNTI : DNPC KALOLENI
NAMBA :  5128215