Kaloleni Pentekoste

Karibu kwenye madhabau ya shalom

DISCIPLE NATIONS PENTECOST CHURCH KALOLENI – ARUSHA

DNPC

"HUU NI MWAKA WA KUENEA"

Neno la Mwaka 2024
"Mwanzo 28:14"

Na uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi, na mashariki, na kaskazini, na kusini; na katika wewe, na katika uzao wako, jamaa zote za dunia watabarikiwa.

Isaya 54:3

Kwa maana utaenea upande wa kulia na upande wa kushoto; na wazao wako watawamiliki mataifa; wataifanya miji iliyokuwa ukiwa kukaliwa na watu.

Karibu katika Ibada zetu za Alhamisi, Jumamosi, na Jumapili

DNPC KALOLENI

Ratiba za Ibada

Jumatatu

 

SAA  12:00-1:00

MORNING GLORY PRAYERS

 

SAA  7:00-8:00  MCHANA

LUNCH   HOUR MEETING

 
SAA  10:30-12:00 JIONI 

WANAWAKE

 

Jumanne

SAA  12:00-1:00

MORNING GLORY PRAYERS


SAA 7:00-8:00 MCHANA

LUNCH   HOUR MEETING

 

IBADA ZA MITAANI/CELLS]

Jumatano

 

SAA  12:00-1:00

MORNING GLORY PRAYERS

 

SAA  7:00-8:00  MCHANA

LUNCH   HOUR MEETING

 

SAA  10:30-12:00 JIONI

VIJANA

 

Alhamisi

SAA 12:00-1:00

MORNING GLORY PRAYERS

 

SAA 7:00-8:00  MCHANA

LUNCH   HOUR MEETING

SAA 09:00-12:00 JOINI

MAOMBI NA MAOMBEZI

 
Ijumaa

SAA  12:00-1:00

MORNING GLORY PRAYERS

 

SAA  7:00-8:00  MCHANA

LUNCH   HOUR MEETING

 

 

J' mosi

SAA 02:00-09:00       MCHANA

MAOMBI NA MAOMBEZI

Jumapili

SAA  01:00-03:00 ASUBUHI

IBADA YA KINGEREZA

 

SAA 03:00-04:00 ASUBUHI

MAFUNDISHO YA BIBLIA

 

SAA 4:00-7:00 MCHANA

IBADA YA KISWAHILI

tunachoamini
Tunaamini kwamba Mungu wa kweli ni mmoja, muumba wa vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonakana, wa milele, Mwenye uwezo wote, maarifa yote na yupo mahali popote wakati wote, Mtakatifu
(Mwanzo 1:1, Nehemia 9:6, 1.Wakoritho 8:6, 1.Timotheo. 2:5)
kwamba Mungu alijifunua katika nafsi tatu ambazo ni Mungu Baba, Mwana na Roho Mtakatifu na ambaye peke yake anastahili heshima, utukufu, sifa na ibada kutoka kwa kila kiumbe milele na milele,
(Kutoka 20:2-5, Mathayo 3:16-17, 28:19, Ufunuo. 5:13)
kwamba Yesu Kristo ni mwana wa Mungu na pekee aliyekuwepo kabla ya kuumbwa kwa vitu vyote Neno la Mungu aliye hai, Mungu wa milele ambaye vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake,
(Yohana 1:1-3, 1.Wakoritho 1:16-17, Waebrania 1:3)
kwamba Yesu Kristo alikuja katika mwili, akakaa kwetu ili aweze kuleta ukombozi kwa wote wenye mwili na kuwapa wokovu kamili kutoka Dhambini,
(Yohana 1:14, 1Yohana 4:2, Waebrania 2:14-16)
kwamba Kristo Yesu alifanyika dhabihu kwa ajili ya ondoleo la dhambi kwa njia ya kifo chake msalabani, alizikwa na kufufuka siku ya tatu, na hivyo kupata heshima na sifa ya kuwa kuhani mkuu wetu wa milele na patanisho halali kati ya Mungu na wanadamu, 
(1.Wakoritho 15:3-4, Waebrania 2:14, 10:10, 12:21)
Unaweza Weka Sadaka yako kupitia,
Akaunti ya Benki au kwa Vodacom Lipa Namba.

JINA LA AKAUNTI – DNPC KALOLENI
NAMBA YA AKAUNTI: 40810168762

JINA LA AKAUNTI : DNPC KALOLENI
NAMBA :  5128215